جمع التبرعات 15 سبتمبر 2024 – 1 أكتوبر 2024 حول جمع التبرعات

MISINGI YA IMANI: MAFUNDISHO YA KIBIBLIA KUHUSU IMANI YA...

  • Main
  • MISINGI YA IMANI: MAFUNDISHO YA...

MISINGI YA IMANI: MAFUNDISHO YA KIBIBLIA KUHUSU IMANI YA KIKRISTO (THE WESTMINSTER CONFESSION OF FAITH AND LARGER CATECHISM)

Daniel J. Seni (Translator)
كم أعجبك هذا الكتاب؟
ما هي جودة الملف الذي تم تنزيله؟
قم بتنزيل الكتاب لتقييم الجودة
ما هي جودة الملفات التي تم تنزيلها؟
Tafsiri ya kitabu hiki imezingatia muktadha wa kanisa la Tanzania na Afrika kwa ujumla. Katika kuzingatia muktadha huu, niliamu kuviunganisha vitabu vyote viwili ili kiwe kitabu kimoja. Baada ya kushauriana na Wachungaji kadhaa, niliamua kuviita kwa jina moja, “Misingi ya Imani: Mafundisho ya Msingi ya Kibiblia kuhusu Imani ya Kikristo.” Kwa jina hili, haimaanishi kwamba kuna mabadiliko yoyote ya ujumbe au muundo wa ndani, bali ni kitu kilekile isipokuwa nimeangalia muktadha wetu. Pamoja na kuzingatia muktadha, hata hivyo nimezingatia pia tahajia ya awali, bila kupoteza maana ya msingi.
Mwishoni mwa kitabu hiki nimeambatisha imani ya mitume, imani ya Nikea, Sala ya Bwana na Amri Kumi za Mungu. viambatisho hivi havipo kwenye lugha chanzi ya vitabu hivi lakini nimeona ni vyema kuviweka kwa sababu ya ufupisho wake wa imani ya Kikristo.
Nawashukuru wote ambao walinitia moyo na kuniombea katika kutafsiri vitabu hivi. Nawashukuru pia wale ambao wamesaidia uchapishaji wa kitabu hiki. Nawashukuru wamishenari wote wanaofanya kazi nchini Tanzania, bila kuwasahau kwa upekee wamisionari wa Korea Church Mission Tanzania (KCM) kwa umoja wao na ushirikiano na subira ya kutamani kitabu hiki kichapishwe ili kitumike katika makanisa ya Tanzania.
Daniel John Seni
Calvin Graduate School of Theology
Seoul, Korea Kusini
Desemba 2020
المجلد:
1
عام:
2020
الناشر:
Truth Printing Press
اللغة:
kikuyu
الصفحات:
202
ISBN 10:
9976572611
ISBN 13:
9789976572612
ملف:
PDF, 1.07 MB
IPFS:
CID , CID Blake2b
kikuyu, 2020
إقرأ علي الإنترنت
جاري التحويل إلى
التحويل إلى باء بالفشل

أكثر المصطلحات والعبارات المستخدمة